Sunday, September 02, 2007

People's Power


Mbowe 'akiwachochea' wananchi kutumia nguvu ya umma kuishikiza serikali adabu.

2 comments:

Anonymous said...

Tunapenda mambo kama haya huko tanzania. Sio kuwa na uoga wa aibu na kuogopa kuwa CCM ndio wao na Miungu watu sio kweli hata Kidogo.
Josh Michael
marekani

Ansbert Ngurumo said...

Ndugu yangu,
Tanzania inabadilika. Kizazi hiki kinaamka. Serikali kama inataka kukizuia itekeleze wajibu wake. Vinginevyo, kazi aliyoifanya Nyerere imechafuliwa; kina Nyerere wapya hawakubali.

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'