Wednesday, September 12, 2007

Mwanablogu mpya wa kike Mtanzania


Furaha Thonya, mwandishi wa kike wa kujitegemea wa magazeti ya ThisDay na Kulikoni, amejiunga na jamii ya wanablogu. Msome hapa. Pichani ni Ndesanjo Macha, Ansbert Ngurumo, Furaha Thonya na Philemon Msangi (Bob Sankofa) Jumapili 9. Septemba 2007, nje ya ukumbi wa mikutano.

2 comments:

Anonymous said...

Watanzania mnapendeza kweli katika picha hii.

Unknown said...

This is what we call a blog.It appears to me its new but the arrangement and presentation is just phenomenal!Go on Girl.

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'